uapishwaji VIONGOZI

 Hapa niwakati mwalimu Omary akiingia mahari hapo watu wakimshangilia yeye pia akiwapungia mikono na kupiga makofi


 huyu ndie makamu wa Rais


Hapa mataji kama haya pia yalihusika maana watu walikua hawaamini kama wamepewa nyazifa kubwa haahahaahahahaah

 Viongozi mbalimbali wakiwa pamoja na rais kwa picha ya ukumbusho


hawa jamaa ndio walikua wanakabidhi madaraka iseee inauma lakini tunavumilia tu na tabasamu kidogo  japo tunapongezana


 huyu jamaa anaitwa kisaka hapa alikua anasubiri kuapishwa kutumikia serikali


makabidhiano yote yalikua yanafanyika hapa hapa ndo maana hata runinga yetu  ya DSTV ilibidi ihusike kuja 

 

daaaaaaahhhh kua kiongozi rahaaa asikwambie mtu haap rais akiwapungia watu wakati akiingia ukumbini hapa  watu pungaaaaaaaaaaaaaaaa

hapa viongozi mbalimbal na mawazii waandamizi  wakiwa pamoja mda mchache baada ya kuapishwa


ilimbidi tu ndg yetu Nuhu akabidhi uongozi na hapa ndio anatangaza rasmi kuvunja serikali yake

aliyekua waziri wa habari ndg afidh akiwa katika poz


hawa wote ni baadhi ya wateule walioteuliwa na Rais katika wizara mbalimbali

huyu ni alfa waziri wa Michezo anaemaliza muda wake

hapa Rais akiondoka na mkuu wa chuo Dr ERNEST

YEAH we mean peace and love ndo tunamaliza muda wetu hivo pembeni ya huyo dada jamaa anaitwa musa alijaribu hizi mbio japo bahati haikua yake

Baraka mmoja wa mawaziri wa bwana mwangi