Sunday, May 20, 2012

shughuli nzima ya uapishaji wa viongozi wa serikari ya wanafunzi


 Mh Barnabas Mwangi Rais wa serikari ya muso mbeya  campus nyuma alieambatana nae ni makamu wa rais aliyekua na tabasam pana la ushindi


MH. MOMBURY, NEMES MICHAEL-WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA MZUMBE CAMPUS YA MBEYA 


                                                        Hii ni board ya washauli na usuruhishi

hapa juu ni viongozi wa chuo aliyevaa kaunda suti ya kijivu ndio mkuu wa chuo cha mzumbe mbeya campus  dr ERNEST akiwa ameambatana na dean of student kulia kushoto ni rais wa serikari ya wanafunzi anaemaliza muda wake ndg NUHU SULEIMAN pamoja na kamishna wa viapo mwenye tai kwa nyuma


hapa ni sehemu ya watu baadhi waliojitokeza kuhudhulia dhifa ya kuapishwa kwa viongozi. 
kwa habari zaidi na picha bofya hapa

No comments:

Post a Comment