Wednesday, May 30, 2012

msosi wetu wa kawida cantini wali maharage ..........

uchunguzi mdogo uliofanyika wakati huu ambao boom limechelewa na maisha kua magumu zaidi. wali maharage ndio kimekua chakula kikuu zaidi wakati huu, pamoja na hayo pia upigaji wa pass ndefu pia umekua mwingi huku wengine wakishindia matunda tu......
ukiachia hiyo pia karibu kila mgahawa ambao wadau wanatumia hivi sasa kuna vijidafutari vingi vya kusaini sio kwamama eric wala kantini na sehemu nyingine hii inaonyesha dhahiri tunakura kwa style ya NIFADHIRI ZENI NTAKUTOA  ZIKIJA
Wakati huu wote bata zimepungua saaaaana  kutoka kwenye uchafuzi wa meza mpaka kwenye moja moja zenye mpangilio mzuri mezani

HIKI NDICHO KINACHOJIRI HAPA MZUMBE

1 comment:

  1. Kaka kwa style hiyo atazikwa mtu mzima mzima...maisha bila dubai hayaendi kabisa

    ReplyDelete