Mwanafunzi mwenzetu anaefanya kozi ya sheria mwaka wa kwanza SAMSONI TURUKA amefiwa na babaake mzazi na ameondoka jaan kuelekea nyumbani songea.
Ndugu jamaa na marafiki tuwekaribu na ndugu yetu samson tukimfariji na kumtia moyo katika kipindi hiki kigumu
ndg samson turuka
UONGOZI WA MUSOSANA UNATOA SALAMU ZA POLE KWA SAMSONI PAMOJA NA FAMILIA YAKE YOTE KWA KUONDOKEWA NA MPENDWA WAO
NA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHARI PEMA PEPONI
AMEN
No comments:
Post a Comment