Friday, December 21, 2012

MASIKI VICHANGA HIVI VIMETEKELEZWA JALALANI


Htukio hili limetokea jana katika jalala moja ambalo liko nyuma ya chuo karibia na mgahawa wa mama land. INASIKITISHA SANA lakini baadae police walikuja na kuvichukua vichanga hivyo ambapo haikujulikana ni nani aliyefanya unyama huo

No comments:

Post a Comment