Wednesday, May 8, 2013

kesi ya uchaguzi yatupiliwa mbali

RAIS MTEULE TEOPHIL pamoja na Ndg DASTAN  wakiteta jambo
kesi ya kupinga matokeo iliyofunguliwa na ndugu dastan na wenzake dhidi ya ushindi wa Teophil imetupiliwa mbali na kinachofuata sasa ni kuapishwa kwa ndugu Teophil kama mshindi wa kiti cha urais

No comments:

Post a Comment