Thursday, May 31, 2012

Mpendwa wetu anaumwa..........

Aliyekua katibu mkuu wa serikari iliyomaliza muda wake dada yetu ESTER MPANGA ni mgonjwa na amelazwa katika hospital ya rufaa. pamoja na hayo amejifungua na kwa bahati mbaya mtoto kafariki  dunia.Aitha waziri wa affiliation amewaomba watu wote tuungane kwa kumfariji na kwanjia nyingine yoyte katika kipindi hiki kigumu kwake
Hapa akipokea cheti  kwa kuitumikia muso 

 Hapa akiwa pamoja n mawaziri waandamizi wa serikali aliyofanya nayo kazi hapo ndani (aliyevaanguo ya blue ktk kiduara chekundu)
watanzania sote ni ndugu tuwepamoja mungu msaidie ESTER

Wednesday, May 30, 2012

msosi wetu wa kawida cantini wali maharage ..........

uchunguzi mdogo uliofanyika wakati huu ambao boom limechelewa na maisha kua magumu zaidi. wali maharage ndio kimekua chakula kikuu zaidi wakati huu, pamoja na hayo pia upigaji wa pass ndefu pia umekua mwingi huku wengine wakishindia matunda tu......
ukiachia hiyo pia karibu kila mgahawa ambao wadau wanatumia hivi sasa kuna vijidafutari vingi vya kusaini sio kwamama eric wala kantini na sehemu nyingine hii inaonyesha dhahiri tunakura kwa style ya NIFADHIRI ZENI NTAKUTOA  ZIKIJA
Wakati huu wote bata zimepungua saaaaana  kutoka kwenye uchafuzi wa meza mpaka kwenye moja moja zenye mpangilio mzuri mezani

HIKI NDICHO KINACHOJIRI HAPA MZUMBE

Sunday, May 20, 2012

shughuli nzima ya uapishaji wa viongozi wa serikari ya wanafunzi


 Mh Barnabas Mwangi Rais wa serikari ya muso mbeya  campus nyuma alieambatana nae ni makamu wa rais aliyekua na tabasam pana la ushindi


MH. MOMBURY, NEMES MICHAEL-WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA MZUMBE CAMPUS YA MBEYA 


                                                        Hii ni board ya washauli na usuruhishi

hapa juu ni viongozi wa chuo aliyevaa kaunda suti ya kijivu ndio mkuu wa chuo cha mzumbe mbeya campus  dr ERNEST akiwa ameambatana na dean of student kulia kushoto ni rais wa serikari ya wanafunzi anaemaliza muda wake ndg NUHU SULEIMAN pamoja na kamishna wa viapo mwenye tai kwa nyuma


hapa ni sehemu ya watu baadhi waliojitokeza kuhudhulia dhifa ya kuapishwa kwa viongozi. 
kwa habari zaidi na picha bofya hapa

Saturday, May 12, 2012

Resoeric prinnters go beyond borders!!!!!!!!!!!!!!!

the biggest printing corpoaration to have ever hitted the campus, with wonderful revolutoin ideas, ai getting even closer to, you can share any thing with the corpoaration via this site, remember tupo block B B3 , ALWAYS WELCOME ! C.E.O

Vua gamba vaa gwanda kutingisha kusini

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuandaa awamu mpya ya operesheni zake, ambayo safari hii kimesema kitapeleka nguvu zake katika mikoa ya Kanda ya Kusini, kuanzia Lindi na Mtwara, ili kuuhamasisha umma kuleta mabadiliko na uwajibikaji serikalini.
Katibu wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika, alisema jana kuwa ratiba rasmi ya lini operesheni hiyo itaanza, kiongozi wa chama atakayeiongoza na siku ambazo itafanyika, itatolewa baadaye.
Alisema operesheni hiyo imelenga kushughulikia mambo matatu; la kwanza likiwa ni kusimamia uwajibikaji katika ngazi zote za serikali, ili kuhakikisha changamoto zote zinazolikabili taifa zinashughulikiwa.
Mnyika, alisema jambo la pili litakaloshughulikiwa na operesheni hiyo, ni kutoa elimu ya kisiasa kwa umma kuhusu mchakato wa mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na la tatu, ni kujenga organaizesheni ya chama mijini na vijijini.
Alisema mamuzi ya kupelekwa nguvu za operesheni hiyo katika mikoa ya Kanda ya Kusini yalifikiwa na Kamati Kuu (CC) ya Chadema.
Mnyika alisema awali CC ilipanga operesheni hiyo kufanyika mwanzoni mwaka huu, lakini ikashindikana kwa vile kipindi hicho kilikuwa ni cha majira ya mvua katika mikoa hiyo.


SOURCE: NIPASHE

jamani eti ommy dimpoz nae msaaaafi !!!!



Friday, May 11, 2012

MENU YA HOTEL ZA MBUGAN

 chips swala 2000,
supu ya mamba 5000,
wali simba 7000, 
snake bite 1000, 
ugali chui 4000, 
beef twiga 3000,
 mshikaki wa nungunungu 800,
 tembo choma 4500,
 mchemsho wa fisi 3500,
 ngili rost 2500, 
ndizi sokwe 6000, 
mayai ya bundi 500 na juice ya dodoki 300 karibun sana

Wednesday, May 9, 2012

Rais wa serikali ya wanafunzi mzumbe campus ya mbeya aapishwa rasmi....

Shughuli nzima ya kuapishwa kwa serikali ya wanafunzi imefanyika leo katika viunga vya court yard hapa mzumbe mbeya.
Pamoja na hayo mh BARNABASI MWANGI  alitumia wasaa huo pia kulianika baraza lake la mawaziri na pia walia pishwa  na baada y  hapo kutoa hotua yake y kwanza kama rais.

KWA HABARI ZAIDI ZA TUKIO ZIMA NA PICHA ZA MATUKIO SOON ZITAKUA HAPA
Hapa ni wakati mawaziri na viongozi wengine waandamizi wa serikari  wakiapishwa


hapa ni wakati jopo la mgeni rasmi mkuu wa chuo dr Elnest, kamshina wa viapo,dean of student na wageni wengine waalikwa wakiingia mahari hapo kwaajiri ya shughuli hiyo

Monday, May 7, 2012

baadhi ya wadau.........

Hapa ni KIMU(kushoto), FARAJI aka bima (katika)  pamoja na Maduhu (asiye na miwani)


 anaitwa KISHIKIZO


hapa ni kijana MED pamoja na SEMBWA

HABARI YA UCHAGUZI BANA....

Uchaguzi ulikuja na mbwembwe mbali mbali za wagombea mbalimbali katika ngazi ya Rais wa serikali ya wanafunzi,wawakilishi wa vitivopamoja na wawakilishi wa madarasa.
Rakini mpaka mwisho katika kiti cha uraisi bahati ilikua ya MWANGI ambae alishinda kwa ushindi wa kimbunga akiwa na kura zisizopungua 300 akifuatiwa na PONELA nafai ya tatu ilienda kwa MTATINA nA mwisho alikua MUSSA aliyekua waziri wa affiliation katika serikari iliyomaliza muda wake ambae aliambulia kura 70 tu

 hapa ni baadhi ya matukio ya uchaguzi katika picha

 Hapa ni mh MUSSA akimwaga sera zake


 Hapa watu wakiwa na furaha tele katika moja ya campen


 Hapa iikua ni kampen mwanzo mwisho mpaka kieleweke


 HAPA NI WAGOMBEA WA KITI CHA  URAIS WAKISUBIRI KABLA YA KUANZA CAMPEN


HAPA ILIKUA ni full burudani tu ilimradi watu ni kujitoa fahamu tu kwaajiri ya kampen

kwa picha zaidi za uchaguzi na vituko vyake bofya hapa