Friday, April 20, 2012

mwanafunzi wa TEKU eti..............

UCHAWI!!! UCHAWI!!! UCHAWI!!

hii habari nimeipata kwa .mkwinda.blogspot.com
MWANAMKE huyu ambaye hakufahamika jina lake amekutwa katika mazingra haya leo alfajiri maeneo ya Ilomba Jijini Mbeya akiwa kama alivyozaliwa, Inadaiwa kuwa mwanamke huyu ni mmoja wa wanafunzi wa chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU).

Wananchi walikusanyika katika eneo alipokutwa mwanamama huyu ambapo inadaiwa kuwa alikuwa akiwaqnga nyakati za usiku lakini akakutana na wababe wa Ulozi mitaa hiyo ndipo aliposhindwa kuendelea na ulozi wake na kujikuta akikosa nguvu na kushindwa kuendelea na safari yake ya ulozi hadi alipokutwa asubuhi kweupee!!!

Inaelezwa kuwa eneo hilo ni maarufu kwa kukamata watu wanaoingia anga hizo kwa ajili ya kufanya ugagula ambapo miezi michache iliyopita mtoto mdogo wa kike naye alibambwa akitaka kufanya ulozi na kukutwa na umati wa watu kabla ya kufanya ulozi wake.

Mwanamke huyu aliokolewa na askari polisi ambao walimchukua moja kwa moja hadi kituoni kwa ajili ya kuhifadhiwa ili asipate madhara zaidi.Jitihada za kukutana na uongozi wa chuo kikuu cha TEKU zinaendelea ili kujua kama mwanamke huyu alikuwa ni mwanafunzi wa chuo hicho kama inavyoelezwa na watu ama la.

Wednesday, April 18, 2012

mei 19 washindi wa kill music award kugonga show sokoine mbeya


.
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chake cha Kilimanaro Premium Lager ambao ni wadhamini wakuu wa Tuzo za Muziki Tanzania (KTMA) April 17 2012 wamezindua rasmi ziara ya washindi wa tuzo za Kili 2012 ambapo hiyo Tour itafanyika katika mikoa 6 ya Tanzânia na kuhusisha uvumbuzi wa vipaji vichanga vya wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Dodoma, Mwanza, Kilimanjaro, Mbeya, Mtwara na kilele kuwa Dar es Salaam.
Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe amesema “tutawapa nafasi wasaniii watakaovumbuliwa kuimba na washindi vinara wa tuzo za Kili ambapo mshindi mmoja wa kila mkoa ataletwa Dar es Salaam kushiriki kwenye tamasha la mwisho la ziara, na pia kurekodiwa nyimbo moja ya kumwezesha kuanza safari yake ya muziki.

.
Kati ya wasanii watakaoshiriki kwenye ziara hizo za washindi wa tuzo za Kili ni pamoja na Diamond, Khadija Kopa, Suma Lee, Warriours from the East, Ali Kiba, AT, Aisha Msharuzi, Twanga Pepeta, Ben Pol, Roma, Ommy Dimples, Kalijo Kitokololo, Jaguar na Barnaba.

Monday, April 16, 2012

Most university students at high risk of HIV infection`

Urgent and concerted effort is needed to rescue students in higher learning institutions from contracting HIV/Aids, a survey has revealed.
A survey conducted by ‘The Guardian’ between February 11 and April 14 this year in four higher learning institutions based in the region - Teophilo Kisanji (TEKU), Mzumbe University College, Mbeya Institute of Science Technology (MIST) and Tanzania Institute of Accountancy (TIA) – has revealed that most students engage in risky behaviours.
According to the survey’s findings, most students in the mentioned institutions have more than one sexual partner, a situation known as ‘Multiple Concurrent Partners (MCP) and that unprotected sex was a common phenomenon.
Sexual Networks or MCPs, the practice of people having more than one sexual partner at the same time, are a major driver of HIV epidemic. Other factors leading to MCP are revenge, alcohol, peer pressure and globalisation.
“Having more than one sexual partner is very common here; we are seeing it very much at our college. Students are having sexual partners exceeding even two or three or even more than that, so as to get money for subsistence,” intoned Daniel Thomas, a Third Year student enrolled in the Architecture programme at MIST.
The survey also indicated that most students engaging in bad sexual behaviours, don’t use condoms effectively, as they tend to do so on early states of their relationships and stop when the affair reach an advanced stage.
Daniel said that the desire for luxury material possessions was one of the key driving factors compelling girls to go for more than one sexual partner. “Girls go for multiple sexual partners in order to get material goods or lead lifestyles they admire fr

chini ya kapet .....

hapari zisizo rasmi zilizotufikia zinasema kwamba aliyekua waziri wa ELIMU  wa serikali inayomaliza muda wake ametangaza pia nia ya kugombe nafasi y urais wa serikari ya wanafunzi hapa mjini
KWAHABARI ZAIDI UTAENDELEA KUZIPATA HAPA HAPA

fukuto la uchaguzi la viongozi wa muso........

Fukuto la uchaguzi lilimeendelea kuwa kubwa zaidi pale baadhi ya watu walipojitokeza kutangaza nia rasmi nia  ya kugombea katika nyazifa tofauti.
Hii imejitokeza leo katika darasa la sheria mwaka wa kwanza ambapo Ndugu MUTATINA ( MUTA) alipotangaza rasimi kugombea urais .Pamoja na muta mwingine alieonyesha nia ya kugombe ni AMOS aliyetangaza kwamba atagombe nafasi ya ukuu wa wawakilishi wa vitivo (second board representative)
Rais wa muso Nuhu Suleiman
Hao wamekua ni watu waawali kabisda kuonyesha nia ya kugombea baada ya  hapo jana rais anaemaliza muda wake Mh NUHU SULEIMAN kuvunja baraza la mawazili na bunge

Saturday, April 14, 2012

llb i na llb ii watoana suruhu..

Mapema leo jion kulikua  na mechi kubwa ya kirafiki kati ya wanasheria wa mwaka wa kwanza na maalwatani wa mwaka wapili iliyofanyika katika uwanja wa sangu.Mpaka mwisho wa mchezo walitoka sale ya kufungana bao moja kwa moja.Pamoja na hivyo mapema LLB II ndio walikua wa kwanza kupata bao lakini vijana wa LLB I Walisawazisha katika kipindi hicho cha kwanza lakini katika hari ya kushangaza LLB II walilikata bao hilo huku wakitishia kungoa na kuondoka na lango lao kitu kilichosababisha kusimama kwa mpira takribani dakika 15. bada ya hapo mpira uliendelea na bado  vijana wa LLB I waliweza kusawazisha na mpaka mwisho wa mpira mabao ilikua 1-1

tarifa ya uchaguzi..

wizara ya katiba na sheria imetangaza mchakato wa kupata serikari mpya ya wanafunzi kuanza mchakato hu tarehe 13/04/2012 na kuhitimisha tarehe 26/04/2012.
Taarifa hiyo imesambazwa katika mbao mbalimbali za matangazo ikionyesha jinsi mchakato mzima utakavyoenda ikawa ni pamoja na uchukuaji form za wagombe na siku za kuludisha.
Mpaka sasa hakuna mtu aliyejitokeza kuonyesha nia ya kugombea uongozi japo kuna watu ambao mpaka sasa wamekua midomon mwa watu ikisemekiana kua wanaweza kugombea.

Thursday, April 12, 2012

lulu afikishwa mahakamani


Habari hii na BBC Swahili

Msanii wa kike wa filamu Tanzania Elizabeth Michael Kimemeta maarufu kama Lulu,amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashtaka ya mauaji ya msanii mwingine wa filamu Marehemu Steven Kanumba.
Amefikishwa mahakamani ikiwa ni siku nne, tangu alipokamatwa mara baada ya kifo cha msanii huyo ambaye inaaminika kuwa walikuwa na uhusiano wa Kimapenzi.
Mbele ya Hakimu mfawidhi wa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam,Bi Augustina Mbando,Elizabeth Michael Kimemeta ajulikanaye kama Lulu kwa jina la Usanii,aliwasili mahakamani hapo akiwa chini ya Ulinzi mkali wa askari Polisi waliokuwa wamevaa kiraia na wengine wakiwa wamejihami kwa silaha.
Mara baada ya Kufikishwa mahakamani,upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa serikali Bi Elizabeth Kaganda ulimsomea shtaka moja ambalo ni la mauaji, kosa ambalo ni kinyume cha sheria ya kanuni ya adhabu kifungu cha 196.
Wakili huyo wa serikali Bi Elizabeth Kaganda,alidai mbele ya mahakama kuwa mnamo tarehe 07 mwezi April mwaka 2012,katika eneo la Sinza Vatican,msanii Elizabeth alimuua msanii Steven Kanumba.
Akiwa amevalia gauni kubwa lijulikanalo kama dera lenye rangi ya Njano mtandio wa rangi ya waridi na kandambili nyekundu mshtakiwa alionekana kutokuwa na wasi wasi pamoja uzito wa tuhuma za mauaji anayokabiliwa nayo huku akijibu maswali kadhaa kuhusu wasifu wake.

Tuesday, April 10, 2012

mkesha wa pasaka ucheki hapa na baadhi ya wadau.............

hapa ni picha ya baadhi ya wadau waliuokutana kwaajiri ya mkesha pasaka wakiwa katika pozi tofauti tofauti 

hapa nni baada ya kujipatia chakula chao kidogo na kuamua kupouse kidogo kwa picha kabla ya kuanza kushusha vyombo

Mheshimiwa sana fuculty representative wa LLB na msanii mkubwa wa hapa mjini YOGA BOGA alikuwepo pia na hapa alikua anongea mawili matatu kuhusu kazi zake za mziki na majukumu yake aliyopewa kama F.R

baadhi ya wadau waliokuwepo mahara hapo kwaajiri ya mkesha wa pasaka wakiwa  katika pozi la pamoja na kutengeneza kumbukumbu

hapa ilikua zamu ya CLASS REPRESENTATIVE wa LLB  i akisema kidogo na kutoa  maelekezoo kidogo ambapo pia ndio alikua na majukumu ya kuendesha shughuli hiyo anaitwa michael wengi wanamuita tata
Kwa habari na picha zaidi  za mkesha huu ofya hapa bofya hapa